Katika dunia ya leo ambapo mamilioni ya watu hutegemea utandawazi kupa — Enock Maregesi

Norway Timelapse
PlayPlay

previous arrow
next arrow
Norway Timelapse
Budapest Timelapse
Iceland Timelapse
Berlin Timelapse
London Timelapse
previous arrow
next arrow

Katika dunia ya leo ambapo mamilioni ya watu hutegemea utandawazi kupata pesa, kuwa na imani kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua au mtu mwenye nia mbaya na wewe ni kikwazo kikubwa cha maendeleo kwa sababu, karibu kila mtu unayekutana naye ni Shetani. Shetani ni mtu yoyote mwenye nia mbaya na wewe. Hivyo, kama uliwahi kuambiwa kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua ni kitu kibaya futa imani hiyo. Utaachaje kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua wakati kila siku unamwomba Mungu akusaidie, na Mungu hutenda kazi zake pale tunapojisahau? La sivyo hutapata pesa unayotamani kupata katika maisha yako, na kamwe hutawaamini watu. Zaka huondoa laana ya mapato. Toa zaka kununua pepo uliyopewa na Mungu.

Enock Maregesi

Related Authors: Enock Maregesi

Related Topics: curse-of-income, development, dunia, faith, globalization, god, imani, laana-ya-mapato, life, maendeleo, maisha, malice, mamilioni-ya-watu, millions-of-people, money, mtu-usiyemjua, mungu, nia-mbaya, paradise, pepo, pesa, satan, shetani, tithe, unanimous-person, utandawazi, world, zaka

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *