Related Authors: Enock Maregesi
Related Topics: dhambi, god, god-s-plan, kibali, life, maisha, mpango-wa-mungu, mungu, permission, sin










Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako – ya mwingine Mungu anayafanyia kazi – hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo ya mtu mwingine kunaweza kuathiri mpango wa Mungu katika maisha yake. Hivyo, acha.
Related Authors: Enock Maregesi
Related Topics: dhambi, god, god-s-plan, kibali, life, maisha, mpango-wa-mungu, mungu, permission, sin
© Vibe Quotes 2026 All Rights Reserved.