Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingil — Enock Maregesi

Norway Timelapse
PlayPlay

previous arrow
next arrow
Norway Timelapse
Budapest Timelapse
Iceland Timelapse
Berlin Timelapse
London Timelapse
previous arrow
next arrow

Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako – ya mwingine Mungu anayafanyia kazi – hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo ya mtu mwingine kunaweza kuathiri mpango wa Mungu katika maisha yake. Hivyo, acha.

Enock Maregesi

Related Authors: Enock Maregesi

Related Topics: dhambi, god, god-s-plan, kibali, life, maisha, mpango-wa-mungu, mungu, permission, sin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *