Mungu hatakubali kuwa na mtu katika ufalme wake ambaye hatakubali kuta — Enock Maregesi

Norway Timelapse
PlayPlay

previous arrow
next arrow
Norway Timelapse
Budapest Timelapse
Iceland Timelapse
Berlin Timelapse
London Timelapse
previous arrow
next arrow

Mungu hatakubali kuwa na mtu katika ufalme wake ambaye hatakubali kutawaliwa naye. Usikubali kutawaliwa na Ibilisi, kubali kutawaliwa na Mungu. Ni jukumu letu kuanza kuishi sasa kama vile tutakavyoishi mbinguni. Shetani anataka uwe na hekima ya duniani ili akupumbaze. Lakini hofu ya Mungu ndiyo msingi wa hekima ya kweli. Ukitaka asikupumbaze, pokea Roho ya Mungu kwa kubatizwa. Ukiipokea Roho ya Mungu utajua mambo ya Mungu, ambayo dunia haiwezi kujua.

Enock Maregesi

Related Authors: Enock Maregesi

Related Topics: fear-of-god, heaven, hekima, hofu-ya-mungu, ibilisi, kingdom, lucifer, mbinguni, ufalme, wisdom

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *